Monday, 11 December 2017




Hili Ni Juma La Pili La Kipindi Cha Majilio!!!
Karibu Tutafakari Pamoja.




Ungana na Padre Faustin Rwechungura Katika Tafakari Ya Dominika Ya Pili Ya Majilio.

Somo La Kwanza Linatoka Katika Kitabu Cha Isaya Sura ya 40: 1- 5, 9 - 11
Somo La Pili Linatoka Katika Waraka Wa Mtume Petro Sura Ya 3: 8 - 14
Na Somo La Injili Ni Kutoka Katika Kitabu Cha Marko Sura Ya 1:1 - 8.

Tutafakari pamoja na Ninakuomba Na Kukusihi Uitume Video Hii Kwenye Mitandao Yako yote Ya kijamii Ili Sote tupate fursa Ya kujifunza.

Tafadhali Pia Naomba u-subscribe ili Mafundisho Haya Yatunufaishe Wengi.

Sunday, 3 December 2017

We talk about "abundant life" in our churches regularly. What does it actually mean? |
What Does it Mean to Have an Abundant Life? Some Thoughts on Prosperity

When Christians talk about abundant life in Christ, they share some common beliefs and have points where their ideas diverge, as a Wikipedia article attests! But Scripture is clear that our new life is a reality. Second Corinthians 5:17 talks about this life when it says, “Therefore, if anyone is in Christ, they are a new creation. Old things have passed away and new things have come.” And Jesus calls that life "abundant" in John 10:10.
So what does this new life look like? Ask 10 Christians to define abundant life and you